Mtu na Jinsia

Je, unajua tofauti kati ya utambulisho wa kijinsia, muonekano wa kijinsia, jinsia ki-anatomia, na mwelekeo wa kijinsi? Baadhi ya marafiki na mimi tumeunda kitini cha ukurasa mmoja, kulingana na Genderbread Person ya Sam Killermann, ambayo inafafanua dhana hizi kwa njia inayoweza kufikiwa na ya kuvutia. Ni zana nzuri ya kufundishia na njia nzuri ya kuanzisha mazungumzo muhimu, iwe shuleni, chuo kikuu, matukio ya kijumuiya, au warsha za utetezi. Ni bure kwa mtu yeyote kupakua na kutumia kwa madhumuni ya elimu, na kukuza uvumilivu, kuelewa, na kuthamini tofauti za binadamu.

Continue reading “Mtu na Jinsia”

Ni zaidi ya suala la familia!

Ni janga kubwa na lisilo na kifani. Linaleta uchungu na mateso kwa wanawake na familia zao. Linaharibu jamii katika kila nchi na tamaduni. Lakini cha kushangaza, ni mara chache linazungumziwa, na kwa hakika halishughulikiwi kwa uharaka, tofauti kabisa na janga lingine lolote, ambalo limewahi kuwepo angalau kwa miaka miwili iliyopita. Tanzania ni mfano wa nchi ambayo janga hili limejikita sana lakini linafichwa. Katika nchi kama hii yenye mandhari nzuri, visiwa vya kupendeza, na wanyama wa porini wa kuvutia, kufichwa kwa janga hili kunaleta kizungumkuti.

Continue reading “Ni zaidi ya suala la familia!”

Not a “family issue”

It is a pandemic of devastating proportions. It brings pain and suffering to women and their families. It ravages communities in every country and culture. And yet, we rarely talk about it, and we surely do not address it with the urgency it demands – in stark contrast to the other pandemic, which has been a constant presence in our collective consciousness for the last two years. Tanzania is a case in point. In the land of picturesque landscapes, tropical islands, and spectacular wildlife, this hidden pandemic casts a particularly dark shadow.

Continue reading “Not a “family issue””

What lessons can Socrates offer to the world of business?

Jackline, Neema, Michael, Nurath & Mbaraka

Philosophy is often dismissed as impractical and of little relevance to everyday life. But the reality of business speaks a different story. Some of the most successful entrepreneurs come from a philosophy background. Philosophers pay attention to every minute detail of a problem, yet don’t lose sight of the bigger picture, and have a unique set of skills that enables them to drive innovation and makes them valuable assets for any business.

I caught up with five of my former students at the University of Dar es Salaam who are now up-and-coming entrepreneurs, and I asked them about philosophy and their experiences as philosophers in business.

Continue reading “What lessons can Socrates offer to the world of business?”

Mahojiano: WanaLGBT Tanzania

🇺🇸 Please click here to find an English version of this interview.

Wasagaji, mashoga, wapenda jinsia mbili na wabadilisha jinsia (LGBT) wanakumbwa na ubaguzi na vurugu ambazo zimesababisha madhara makubwa pamoja na ubinywaji wa haki zao za msingi. Niliwahoji wanaharakati watatu wa LGBT wa Tanzania ambao ni wanachama wa jamii hii ili kujua zaidi kuihusu. Lulu ni msagaji mwenye zaidi ya miaka ishirini, Grace ni mwanamke aliyebadilisha jinsia mwenye umri wa kati ya miaka ishirini na Baraka ni shoga mwenye umri wa miaka thelathini na nusu. Haya sio majina yao halisi, maana wanaishi Tanzania na hawahisi salama kujitokeza hadharani. Wanayopitia ni ya kuhuzunisha kwakweli. Nawashukuru kwa kuwa na ujasiri wa kuhojiwa. Natumaini kusoma kuhusu gharama ya maovu ya chuki dhidi ya wapendao jinsia moja na wabadilisha jinsia itamsaidia msomaji kuelewa umuhimu wa kupigania haki za wanaLGBT nchini Tanzania.

Continue reading “Mahojiano: WanaLGBT Tanzania”

Interview: The LGBT community in Tanzania

🇹🇿 Tafadhali bonyeza hapa kupata toleo la mahojiano haya kwa Kiswahili.

Lesbian, gay, bisexual, and transgender (LGBT) people in Tanzania experience substantial prejudice, discrimination, and violence, which has a significantly negative impact on their well-being, and are being denied their most basic human rights. I talked to three Tanzanian LGBT activists who are themselves members of Tanzania’s LGBT community to learn more about the lives of LGBT people in Tanzania. Lulu is a lesbian woman in her late twenties, Grace is a trans woman in her mid-twenties, and Baraka is a gay man in his mid-thirties. These are not their real names, as they live in Tanzania and do not feel safe coming out to the general public. Their experiences, however, are painfully real. I am grateful to them for having the courage to speak up, and I hope reading about the human cost of the evils of homophobia and transphobia will help the reader better understand the urgency of LGBT rights advocacy in Tanzania.

Continue reading “Interview: The LGBT community in Tanzania”

Philosophy Tanzania mailing list

Philosophy Tanzania is a Tanzania-based mailing list for everyone, everywhere with an interest in philosophy.

The list features philosophical discussions, book and article recommendations and reviews, philosophy videos, news, and events, calls for papers, information about graduate programs and scholarships in philosophy, and more.

To join, send an email to philosophy-tanzania+subscribe@googlegroups.com, wait for the response, and follow the instructions. Karibu sana!

Child domestic labor: We must refuse to accept the unacceptable

Moyna cannot sit at the table and eat with the rest of the household. She is the other — in the house, but not a member of the house. Her humanity is reduced to the work she does. Who she is as a person, those around her do not know. She functions in the background, keeps the household running. She is a six-year-old domestic worker in Dhaka, the capital of Bangladesh. “I wake up at six in the morning and go to bed at midnight. My daily chores include sweeping and wiping the floors and stairs, doing the dishes and laundry, opening the main gate downstairs, switching on machines, a little bit of shopping, cleaning the toilet.” In the morning, her workload is particularly heavy, Moyna tells a researcher with the Bangladesh-based Alternative Movement for Resources and Freedom Society. “I help to prepare breakfast, and I eat two breads for myself in a hurry. The same situation arises during lunch and dinner time; I always eat last.” Moyna has no father, and her mother remarried a man who beat her for no reason, which is why her grandmother sent her to Dhaka to work. She has never been to school. Her employer does not allow her to watch TV or talk to outsiders, and makes her wear worn-out clothes. She is slapped or verbally abused for small mishaps, and brutally beaten and locked up for up to 24 hours without food for what her employer considers more severe offenses. Continue reading “Child domestic labor: We must refuse to accept the unacceptable”

For the love of postcards

Before Facebook, WhatsApp, Instagram, and Twitter, there was the postcard. Many young people have never sent one to anyone. Communication today is mostly instant, and mail is derogatorily called “snail mail” by the digital crowd. Since the world’s first picture postcard was sent to London-based writer Theodore Hook in 1840, the postcard has enjoyed much popularity as a means to share images and thoughts across regions and cultures. In recent times, that popularity has rapidly declined, mostly due to the rise of mobile phones and social media. Sending a postcard takes more time and effort than sending an email, or a message on social media, which makes postcards even more meaningful now than they were when there was no instant alternative.

Continue reading “For the love of postcards”

Let Paul Makonda come to America

Should active enemies of freedom be allowed into free countries? In 2007, speaking at Columbia University in New York City, then-President of Iran Mahmoud Ahmadinejad memorably declared that there are no homosexuals in Iran, drawing derisive laughter from the audience. He also made similarly outrageous remarks about the Holocaust and women’s rights in Iran. Thousands protested, and the world saw him for what he is – an ignorant bigot who as president exhibited “all the signs of a petty and cruel dictator,” as the university’s president put it in his introduction. Untrue and immoral speech tends to discredit itself, especially under scrutiny, and that is precisely why it should not only be permitted but welcomed.

Secretary Mike Pompeo last week declared Paul Makonda and his wife, Mary Massenge, ineligible for entry into the United States. In a statement released by the U.S. State Department, Pompeo said he was banning Makonda “due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons.” He did not state which right violations specifically led to the decision. I say, let him come, and treat him to some good old American free speech. Continue reading “Let Paul Makonda come to America”

Mapenzi ya kadi za posta

Kabla ya Facebook na Instagram, kulikuwa na kadi ya posta. Vijana miongoni mwetu huenda hawajawahi kutuma hata moja kwa mtu yeyote yule. Mawasiliano leo hii ni ya haraka, na barua huitwa kwa dharau “barua ya konokono” na umati wa kidijiti. Tokea kadi posta ya kwanza ya picha itumwe kwa mwandishi wa London-Theodore Hook mnamo mwaka 1840, barua ya posta imepata umaarufu kama njia ya kutumiana picha na kushirikiana kimawazo katika maeneo na tamaduni mbalimbali. Katika siku za hivi karibuni, umaarufu huo umepungua sana, kwa sababu ya simu za rununu na mitandao ya kijamii. Kutuma kadi za posta huchukua mda mwingi na nguvu kuliko kutuma barua pepe, au ujumbe kwenye mitandao ya kijamii, ambayo inafanya kadi za posta ziwe na maana zaidi kuliko ilivyokuwa wakati hakukuwa na njia mbadala ya papo kwa hapo. Continue reading “Mapenzi ya kadi za posta”

Kile Unapaswa Kujua Kuhusu Mapenzi ya Jinsia Moja

Bonyeza hapa kupata mahojiano na mwanamme shoga na mwanamke msagaji kutoka Tanzania. Bofya hapa kujifunza zaidi kuhusu jinsia.

Mwelekeo wa kimapenzi ni nini?

Mwelekeo wa kimapenzi humaanisha muundo wa kudumu wa kimhemko, kimahaba, na/au mivuto ya kimapenzi kwa wanaume, wanawake, au jinsia zote. Mwelekeo wa kimapenzi unaweza kuwa wa toka kuvutiwa na jinsia tofauti tu hadi kuvutiwa na jinsia moja tu. Japokuwa, mwelekeo wa kimapenzi kwa kawaida hujadiliwa katika makundi matatu: mpenda jinsia tofauti (kuwa na mvuto kwa wahusika wa jinsia nyingine), shoga/msagaji (mwanaume anayevutiwa na wanaume/mwanamke anayevutiwa na wanawake), na mpenda jinsia mbili (mwanaume au mwanamke anayevutiwa na jinsia zote mbili; “bisexual”).

Continue reading “Kile Unapaswa Kujua Kuhusu Mapenzi ya Jinsia Moja”