Ni zaidi ya suala la familia!

Ni janga kubwa na lisilo na kifani. Linaleta uchungu na mateso kwa wanawake na familia zao. Linaharibu jamii katika kila nchi na tamaduni. Lakini cha kushangaza, ni mara chache linazungumziwa, na kwa hakika halishughulikiwi kwa uharaka, tofauti kabisa na janga lingine lolote, ambalo limewahi kuwepo angalau kwa miaka miwili iliyopita. Tanzania ni mfano wa nchi ambayo janga hili limejikita sana lakini linafichwa. Katika nchi kama hii yenye mandhari nzuri, visiwa vya kupendeza, na wanyama wa porini wa kuvutia, kufichwa kwa janga hili kunaleta kizungumkuti.

Continue reading “Ni zaidi ya suala la familia!”

Not a “family issue”

It is a pandemic of devastating proportions. It brings pain and suffering to women and their families. It ravages communities in every country and culture. And yet, we rarely talk about it, and we surely do not address it with the urgency it demands – in stark contrast to the other pandemic, which has been a constant presence in our collective consciousness for the last two years. Tanzania is a case in point. In the land of picturesque landscapes, tropical islands, and spectacular wildlife, this hidden pandemic casts a particularly dark shadow.

Continue reading “Not a “family issue””