Bonyeza hapa kupata mahojiano na mwanamme shoga na mwanamke msagaji kutoka Tanzania. Bofya hapa kujifunza zaidi kuhusu jinsia.

Mwelekeo wa kimapenzi ni nini?
Mwelekeo wa kimapenzi humaanisha muundo wa kudumu wa kimhemko, kimahaba, na/au mivuto ya kimapenzi kwa wanaume, wanawake, au jinsia zote. Mwelekeo wa kimapenzi unaweza kuwa wa toka kuvutiwa na jinsia tofauti tu hadi kuvutiwa na jinsia moja tu. Japokuwa, mwelekeo wa kimapenzi kwa kawaida hujadiliwa katika makundi matatu: mpenda jinsia tofauti (kuwa na mvuto kwa wahusika wa jinsia nyingine), shoga/msagaji (mwanaume anayevutiwa na wanaume/mwanamke anayevutiwa na wanawake), na mpenda jinsia mbili (mwanaume au mwanamke anayevutiwa na jinsia zote mbili; “bisexual”).
Continue reading “Kile Unapaswa Kujua Kuhusu Mapenzi ya Jinsia Moja”


In 2011, I rode my motorcycle, a BMW R 1150 GS, from my hometown of Adelmannsfelden in Southwest Germany to Cape Town in South Africa. I was accompanied by my friends Marc (on a BMW R 1100 GS) and Cathleen (on a BMW F 650 GS), and my wife Khukie, with whom I shared my motorcycle. We left Adelmannsfelden on the 10th of May, and we reached Cape Town on the 7th of August. We covered a total of approximately 13,000 km, crossing through twelve countries: Germany, Austria, Italy, Egypt, Sudan, Ethiopia, Kenya, Tanzania, Malawi, Zambia, Botswana, and South Africa. This is a photo/video report of our adventures along the way.
University of Nairobi’s Reginald M. J. Oduor talks to Anteneh Roba and Rainer Ebert: