Sio Kitu: Kuanzisha mazungumzo ya falsafa ya haki za wanyama kwa Kiswahili

Namna tunavyowatendea wanyama inaonyesha kwa kiasi kikubwa utu wetu. Wanyama hawawezi kuzungumza lugha zetu, lakini wana uwezo wa kuhisi. Wanahisi maumivu, hofu, furaha na faraja—kama sisi. Wanathamini maisha yao, kama sisi tunavyothamini yetu.

Hata hivyo, kila siku wanyama wengi wanateseka. Katika mashamba, maabara, na shughuli za burudani mbalimbali, mara nyingi wanachukuliwa kama vitu tu—vitu vya kutumiwa, kudhibitiwa au kutupwa.

Ni kwa sababu hii kwamba tumeanzisha Sio Kitu.

Continue reading “Sio Kitu: Kuanzisha mazungumzo ya falsafa ya haki za wanyama kwa Kiswahili”

Ukombozi wa Wanyama

Animal Liberation, a 1975 book by Australian philosopher Peter Singer, is widely considered one of the founding texts of the modern animal liberation movement. It develops a new ethics for our treatment of nonhuman animals, according to which their interests should be given the same consideration as the like interests of humans, and calls for an end to practices such as factory farming and animal testing. The book has had a lasting impact on generations of scholars and students and has influenced countless people in all corners of the world to adopt a vegan diet.

Almost half a century after its first publication, Animal Liberation is now finally available in Swahili! The book was translated by Deogratius Simba and published by Dar es Salaam-based publisher Mkuki na Nyota. It is available for purchase at the TPH Bookshop at 24 Samora Avenue in Dar es Salaam, and everywhere else where Mkuki na Nyota’s books are sold. The retail price is 30,000 TSh. If you are a student at the University of Dar es Salaam (UDSM), you can find a copy of the book at the library of UDSM’s Department of Philosophy and Religious Studies.

Continue reading “Ukombozi wa Wanyama”