Falsafa ya Haki za Wanyama


Msimamo wa Haki za Wanyama

Wanyama wengine ambao binadamu huwatumia kwa chakula, katika sayansi, huwawinda, huwakamata, na kuwanyanyasa kwa namna mbalimbali, wana maisha yao binafsi ambayo yana thamani kwao wenyewe na sio tu kwa sababu ya matumizi yao kwetu. Sio tu kwamba wapowapo duniani, bali wanaufahamu. Wanachokipitia kina maana kwao. Kila mnyama ana maisha ambayo yanaweza kuwa mazuri au mabaya kulingana na namna anavyotendewa.

Continue reading “Falsafa ya Haki za Wanyama”