Ubaguzi mubashara: kadhia ya maadili dhidi ya uwepo wa mipaka

Jaalia katika fikra zako kwamba: leo ni siku muruwa ya mwezi wa Septemba. Hakuna joto wala baridi, upepo mwanana unapepea na mawingu yanang’ara angani. Unachukua blanketi lako na kuelekea katika moja ya fukwe huru za jiji la Dar es salaam. Unajiandaa kwenda kujipumzisha ufukweni hapo na kufurahia machweo jua. Bali unapofika ufukweni mipango yako inatibuliwa bila ya kutegemea. Unaelezwa na afisa ulinzi kuwa serikali imeweka sheria mpya za matumizi ya fukwe. Unaambiwa kwamba huwezi kutumia ufukwe huo kwa vile wewe ni mtu mweusi. Watu wengine wowote wanaruhusiwa kutumia fukwe hizo isipokuwa watu weusi tu, na iwapo mtu mweusi yeyote angekaidi amri hiyo basi nguvu ingeweza kutumika. Continue reading “Ubaguzi mubashara: kadhia ya maadili dhidi ya uwepo wa mipaka”

Discrimination in plain sight: The moral case against borders

Consider the following thought experiment: It is a pleasant day in September. It is not too hot, not too cold, and not too windy, and the sky is clear. You grab a blanket and head to one of Dar es Salaam’s public beaches, intent to make yourself comfortable by the seaside and enjoy the sunset. Once at the beach, however, your plans are rudely thwarted. You are informed by a law enforcement officer that the government has put a new policy in place. You are told that you may not access the beach – because you are black. Black people and only black people are no longer allowed on the beach. If necessary, that policy will be enforced by the use of physical force. Continue reading “Discrimination in plain sight: The moral case against borders”